iqna

IQNA

al shabab
Ugaidi Afrika
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimechapisha ripoti inayoashiria ongezeko la operesheni za kigaidi katika nchi za Afrika mwezi Septemba na kutaka kuongezwa hatua za kimataifa za kukabiliana na ongezeko la ugaidi katika bara hilo
Habari ID: 3475886    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/06

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 10 wameuawa katika hujuma ya kigaidi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
Habari ID: 3474796    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/12

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa al Shabab wameshambuia mji mmoja wa karibu na Mogadishu, mji mkuu wa Somalia na kuua watu wasiopungua saba.
Habari ID: 3474747    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31

TEHRAN (IQNA) - Kwa uchache watu 8 wameuawa na wengine zaidi ya 15 wamejeruhiwa hii leo katika mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari karibu na shule moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3474598    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25

TEHRAN (IQNA)- Kikosi Maalumu cha Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) jana Jumatatu kiliua wanachama saba wa genge la kigaidi la al Shabab wakati kikosi hicho kilipoendesha operesheni maalumu za kuwasaka magaidi hao katika eneo la Shabelle la kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3474385    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/05

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua kumi wameuawa baada kundi la kigaidi la Al Shabab kutekeleza hujuma katika mghahawa mmoja wenye shughuli nyingi kwenye makutano ya barabara ya Jubba, katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3474067    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/03

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umelaani vikali shambulizi la kigaidi lilofanywa Jumapili kwenye 'Hotel Afrika' katika mji mkuu Mogadishu na kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kusalia majeruhi.
Habari ID: 3473615    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/02

TEHRAN (IQNA) – Watu wasiopungua sita wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gaidi kufyatua bomu baada ya swala ya Ijumaa katika msikiti uliooko katika bandari ya Kismayo, kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3473159    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/11

TEHRAN (IQNA) - Watu wasiopungua 16 wameuawa mjini Mogadishu Somalia na makumi ya wengine kujeruhiwa, kufuatia shambulio la magaidi wakufurishaji wa al-Shabab katika Hoteli ya Elite.
Habari ID: 3473076    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/17

TEHRAN (IQNA) – Watu wasiopungua watano wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa kufuatia hujuma za kigaidi nchini Somalia.
Habari ID: 3472927    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/04

TEHRAN (IQNA) - Magaidi wakufurishaji wa kundi la Al Shabab wametekeleza mashambulizi dhidi ya vituo viwli vya Jeshi la Somalia katika eneo la Lower Shabelle na kuua askari wasiopungua wanne.
Habari ID: 3472488    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/20

TEHRAN (IQNA) - Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari ambalo lilikuwa likiwalenga wakandarasi Uturuki limelipuka katika eneo la Afgoye, kaskazini Magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu ambapo watu watatu wanaripotiwa kuuawa katika tukio hilo.
Habari ID: 3472384    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/18

TEHRAN (IQNA) – Watu wasiopungua 100 wameuawa mapema Jumamosi na wengine wengi kujeruhiwa hujuma ya kigaidi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3472312    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/29

TEHRAN (IQNA) -Magaidi kundi la al-Shabab wamedau kuua wanajeshi 23 wa Somalia katika hujuma dhidi ya kituo kimoja cha jeshi.
Habari ID: 3472143    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/22

TEHRAN (IQNA) -Watu 26 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3472041    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/13

TEHRAN (IQNA) - Maafisa 10 wa polisi wameuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini katika kaunti ya Wajir, katika eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya.
Habari ID: 3472002    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/15

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa kundi la Al Shabab wameua watu 16 katika hujuma ya kigaidi iliyojiri leo Jumamosi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3471781    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/22

TEHRAN (IQNA)-Maafisa wa mahaka za Msumbiji wametangaza kuwa wamewahukumu wanachama 200 wa kundi la al Shabab la magaidi wakufurishaji.
Habari ID: 3471702    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/05

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopuingua sita wamepteza maisha na Madrassah ya Qur'ani kuharibiwa katika hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3471658    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/03

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemtunuku nishani ya juu Salah Farah marehemu mwalimu Mwislamu aliyepigwa risasi akiwakinga Wakristo wasiuawe na magaidi wa Al Shabab.
Habari ID: 3470225    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/02